Thursday, October 09, 2014

Jifunze kuongea Kiingereza

Jifunze Kuongea Kiingereza.

Kitabu cha kujifunza kuongea Kiingereza kitapatikana hivi karibuni. Kitabu hiki nimeanza kukiandika kama miaka 6 iliyopita. Hii ni baada ya kuona ni jinsi gani watanzania wengi wanajifunza shuleni kiingereza lakini bado inakua vigumu kuongea au kusikia mtu akiongea kwa kiingereza.

Mimi sikusoma elimu ya msingi shule za  "ST " au "Academy". Shule ambazo zilikuwapo wakati nasoma bali zilikua nje ya uwezo wa wazazi wangu ni Arusha School, St Augustine na Kilimanjaro International School.  Pamoja na kuwa nilisoma mpaka form six Tanzania na nilikua kati ya wanafunzi tuliokua tunafanya vizuri (academically) lakini hiyo yote haikuweza kunisaidia kujua kuongea Kiingereza bila kuwa na uoga fulani au kutokueleweka.  Tatatizo hili lipo kwa wengi mpaka sasa kwa wale wanaosoma za serikali Tanzania.

Baada ya kuangalia ni kwanini tunajifunza kiingereza toka darasa la tatu lakini bado hatuwezi kuongea au kusikia watu wanaoongea kiingereza kwa ufasaha  nikagunduua ni jinsi gani tunavyofundishwa na ni jinsi gani tunastahili kufundishwa. Kuna sheria nyingi za kingereza ambazo mwanafunzi anatakiwa kuzijua ambazo hatufundishwi. Kuna tofauti ya kutamka lugha mbalimbali ambazo hatuambiwi wakati tunapofundishwa hivyo wengi hufukiria au huongea kiingereza kwa kutumia sheira za lugha ya kiswahili....

Lugha ya kiingerea ni lugha zinazojulika kuwa kati ya lugha rahisi kujifunza. Wataalamu wanasema inahitaji masaa 600 tu kuweza kuongea kabisa Kiingereza.  Hivyo nilianza kuangalia jinsi wanavyofundisha watoto na pia wale wanaosoma English as a second language. Kitabu changu pia ni baada ya kujifunza lugha tatu (spanish, german na french) na kuangalia wao wanafundisha vipi hizi lugha kwa watu wengine? Nini tofauti ya hizi lugha na kiingereza? Hivyo kitabu changu kitaweza kukufundisha kuongea Kiingereza kwa waswahili wengi. Kitabu hiki kimetengenezwa kwa kufuata kiinereza cha wamarekani. Ila ukishaweza kuongea kiingereza cha marekani hata kiingereza cha waingereza au waaustralia utaongea bila matatizo. 

Utaelewa siri mbalimbali wanazotumia walimu wanaofundisha wanafunzi hapa wasioongea kingereza. Ni nini kitakusaidia wewe kuongea na kusikia kiingereza mapema. Ni ini kitakusaidia kuongeza speed ya kiingereza unachoongea haraka. Ni nini kinakukwamisha kuongea kiingereza kwa ufasaha...


Kwanini ujifunze kuongea Kiingereza?

Tuesday, October 07, 2014

Just Released Book #Giveaway: Modern Swahili ......Get Your Copy Now For #Free #ModernSwahili

This Book Giveaways just started today October 7, 2014 and it will end at midnight (US ET) November 6th, 2014.




Goodreads Book Giveaway

Modern Swahili by Pauline Mandari

Modern Swahili

by Pauline Mandari

Giveaway ends November 06, 2014.
See the giveaway details at Goodreads.
Enter to win

Just Released Book #Giveaway: Swahili For Teens...... Get Your Copy Now For #Free #SwahiliForTeens

This Book Giveaways just started today October 7, 2014 and it will end at midnight (US ET) November 6th, 2014.




Goodreads Book Giveaway

Swahili For Teens by Pauline Mandari

Swahili For Teens

by Pauline Mandari

Giveaway ends November 06, 2014.
See the giveaway details at Goodreads.
Enter to win

Friday, October 03, 2014

My First Book of Swahili Words by #SwahiliMom

Everyday words for children to learn and help build their Swahili language vocabulary. This is a unique first picture book that has been especially designed to appeal to young children. Stunningly illustrated with full-color photographs and lively artwork scenes. My First Book of Swahili Words will help the very young to enrich their Swahili vocabulary.

The book will be available at Amazon book store in October 15,2014

Get it for your child or a gift for your grandchild, nieces or nephes

Swahili for Teens Book by #SwahiliMom #SwahiliforTeens..

When I had my daughter I thought she would pick up Swahili language just like that....Noo it has been that easy so far...When I am asked to teach Swahili language to some kids of the parents who are from Tanzania or Kenya,  I see many teens that do not speak a word  in Swahili language? At first I used to wonder why but with the hectic life our kids end up in day cares or be with nannies that do not speak Swahili language at very young ages. Time to interact with our children nowadays seems to be less and less so interacting with them in Swahili language is not even practical that much. Many children end up miss  learning the language.

If you would like to help your grown up child to speak more Swahili language then get my book.The book is designed for teens and will never let them get bored..


Swahili for Teens is available now in paperback and in kindle edition...http://www.amazon.com/Swahili-Teens-Pauline-Mandari-ebook/dp/B00NX11L4C/ref=sr_1_1?ie=UTF8&qid=1412088534&sr=8-1&keywords=Swahili+for+Teens

Spice up your relationship - Modern Swahili #ModernSwahili #SwahiliMom

Modern Swahili By Pauline Mandari 

When your partner speaks kindly to you, encourages you and motivates you. How if he/she speaks to you in your first love language? The study found out that it adds more connection into your relationship. If you want to feel more passion in your life and your relationship then teach your significant other your primary language. . Understanding your partner's primary love language will spice up your relationship.

Get my book ....Modern Swahili. If you have tried to teach your significant other but he/she doesn't seem to be getting better...treat this book as your last resort.. Get it now at Amazon.com and amazon.co.uk. ... You won't regret....

My book is available now in paperback and in kindle edition and don't forget to leave your honesty review....
http://www.amazon.com/Modern-Swahili-Pauline-Mandari/dp/1502439786/ref=sr_1_14?ie=UTF8&qid=1412086958&sr=8-14&keywords=modern+swahili

Thursday, October 02, 2014

Modern Swahili & Swahili for Teens Free Books Giveaway

Hey everyone!
Just to let you know that I've just published my first two books called Modern Swahili and Swahili for Teens.  Two is better than one....:) Over a period of 10 years I have written over 12 books but never official published them...Now I have started with these two that I think are mostly needed.. 

After teaching Swahili language online at (Cyber Swahili) for about 7 years now and 3 years to the children of Tanzanian heritage in the Northern New Jersey and New York City area, I knew there is a need for Swahili language books that are written by native speakers and that do have words that are spoken by many people right now. Many of my students have been asking me about words that they found from other books. When I  look at those books most of the times I find that they have been written by non-native speakers and some of them have words that were spoken in the old days.

My books are simple yet informative and they concentrate on those areas that I have seen many beginners struggle with to understand the most when they are starting to learn Swahili language.   

I am running book giveaway promos for these two books that have just been published in September, the Modern Swahili and Swahili for Teens. 10 winners each will receive one autographed copy. The Giveaway period is from Tuesday October, 7th  2014 to Thursday November, 6th 2014.  Everyone is allowed to participate. 

If you can't wait for the giveaway you can still get your own copy at Amazon store

For the Modern Swahili book here are the links Amazon.com, Amazon.co.uk  and Amazon.fr 




For the Swahili for Teens book here are the links  Amazon.com, Amazon.co.uk and Amazon.fr



The giveaway will be run by Goodreads.com the link will be available here on or before Oct 7, 2014 

Meanwhile stop at my author's page to just say hi!.......

Wednesday, October 01, 2014

Modern Swahili by Pauline Mandari

Get the book at

Kindle book
http://www.amazon.com/Modern-Swahili-Pauline-Mandari-ebook/dp/B00O2R1RHM

Paperback book - USA
http://www.amazon.com/Modern-Swahili-Pauline-Mandari/dp/1502439786/ref=tmm_pap_title_0

Paperback book - UK
http://www.amazon.co.uk/Modern-Swahili-Pauline-Mandari/dp/1502439786/ref=sr_1_1?ie=UTF8&qid=1424734690&sr=8-1&keywords=modern+swahili+pauline

Paperback book - FR
http://www.amazon.fr/Modern-Swahili-Pauline-Mandari/dp/1502439786/ref=sr_1_1_twi_2?ie=UTF8&qid=1424734848&sr=8-1&keywords=modern+swahili+pauline