Monday, May 03, 2021

CHAKULA CHA NYUMBANI (AFRICA YA MASHARIKI)

Chakula cha nyumbani ni kitabu nimekuwa nikikiandika kwa muda sasa. Kama ilivyo jina lake kitabu hiki kinahusu vyakula mbalimbali vinavyotokea katika eneo la Africa Mashariki. 

Kama una chakula chako unachokifahamu na ungeoenda watu wengine wakifahamu pia, nitumie jina la chakula hicho ili nikiweke katika kitabu changu. Nitaweka jina lako kuwa wewe ndio umetuelezea kuhusu chakula hicho. Mimi nitajitahidi kufanya uchunguzi na mambo mengine kuhusu chakula hicho na nitajifunza jinsi ya kukipika pia ili niweze kuelezea watu jinsi ya kukipika. 

Vyakula hivi hata kama originality yake sio Africa ya mashariki ila sasa hivi kimezoeleka sana na kuwa kama mwanzo wake ni maeneo hayo wewe nitumie tu.